hapana mimi sijapata hata sumni ni mtu wangu wa karibu ndio kapata mgao yeye imemuuma baada ya kuona hata manager wa hiyo hotel nae anamgao, hapa kwetu zrb hakufai kunanuka kabisa yani kushwa nje nje tena bila kificho
Ni jambo la kusikitisha sana, mwanzoni mwa mwezi huu wa kumi mwaka 2013, wafanyakazi wenzangu wamepokea kushwa ya dola za kimarekani LAKI MOJA NA ELFU KUMI (110,000) kutoka hoteli ya kitalii ijulikanayo kwa jila la KIWENGWA STRAND HOTEL LTD maarufu Bravo holet au sea club huko zaman, ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.