ok ahsante,
singida pia hua nafata mzigo,demand ni kubwa hata ukiweza kupata kuku wa kienyeji mia tano nina uwezo wa kuchukua,bei yangu ni 12000 kama nawafata na 13000 kama utanileta. Kama ni mdau wa hizi biashara utanielewa.
Lengo la kutaka connection zaidi ni kutokana na demand kua kubwa,hadi...
Habari wakuu,
Ninanunua kuku wa kienyeji, kuku wa kisasa(broiler), chotara na layers (waliomaliza kutaga au waliokomaa vizuri).
Hivyo naomba mwenye nao tuwasiliane au yoyote anaejua wapi wanapatikana pia tuwasiliane.
Niko Dodoma mjini.
Tuwasiliane 0759724391.
Unajua sio kila tangazo unalopost linamuhusu mwenye account , wengine hawana account jf, Ila wanaomba wapostiwe matangazo yao ili yawafikie wengi, kama inavyofanyika instagram, so ukikazana kusema sio Kweli Labda Wewe Ndio Unajua ukweli halisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman wadau sijakimbia Ila Nilikua na kazi zingine, sikukimbia .
UPDATE
asante kwa ushirikiano wenu
Nimeshapata gari
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha ya huku ndio hii kila mtu anajua kuusemea moyo wa mtu au mwenzake.
Nimeshasema sio biashara Na kama gari ikiwa na car track itaonyesha ruti zote, nina kazi zangu binafsi mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau,
Nahitaji gari ya kukodi kwa siku elfu 25 yenye cc ndogo 1500 kushuka chini, kwa matumizi binafsi sio biashara, kwa mwezi mmoja, kama mabadiriko ya kikazi yakitokea nitaongeza mkataba.
Napatikana Dar.
Mawasiliano 0683069444.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau,
Ninauza kuku wakubwa wa kienyeji. Kila mmoja ni 14000.
Nipo Dar, Bunju ila mzigo unaletewa ulipo kuanzia watatu, ama ukipenda uje uchague bandani.
Namba zangu: 0683069444
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.