Sina hamu na hivi vitoto nlichekwa mtaa flani hivi na gari langu la mkopo nikaona tutoto tuwili twa moto sana turembo hatari, nkashusha kioo na kuvisalimia nikajibiwa "hata kwetu tuna magari we vipi!" Wauza matunda waliokua karibu walinicheka sana, tangu siku iyo vitoto sitaki navyo mazoea...
Nilikua nimehamishwa kikazi kanda ya ziwa, nlikaa kama miezi miwili na nusu hivi. Nlikua najilia sana pisi za Congo, Zambia na za kisukuma. Yani mteremko bila gharama ndefu na pisi zimesimama kweli (sikuuza mechi).
Siku moja nikiwa kwenye mishe zangu Town nilapishana na mtoto mmoja mkali mno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.