Recent content by zephaniawilliams

  1. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    Ada yake nishilingi ngapi apo st. augustine?
  2. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    mkuu uko st. augustine muheza wanafungua lini?
  3. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    wadau kunakitu tunatakiwa tukifikirie kwa kina, unajua nini? kuna vyuo vingi sana vya private kuliko hata vya serikali! na kawaida vyuo vya private vinakuw na kapasity kubwa kuliko vyuo vya government, na kwa kiasi kikubwa watu wanaomba vyuo vya serikali kuliko vya private coz ada ni ndogo! kwa...
  4. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    ustadh bado awaja toa update inayo husu kurudia
  5. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    unataka kujua nini umo, vp umebahatika nn mkuu?
  6. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    pole sana ustadhijuma, si walikuahid nacte watakubadilishia?
  7. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    mkuu ujamwelewa ustadh, kiu yake chuo cha serikali sio private, manake yeye anataka anaridie kuchagua vyuo vya serikali
  8. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    ndioooo! maana waweza kosa bara na pwani, hawa eleweki awa! mkuu!
  9. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    mhh! hapo mkuu, njia panda, wee confirm tu!
  10. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    ipo sehemu ilioandikw confirm ktk profile yako, hapo ndo una bofya
  11. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    ila kwa wale waliokuwa wamesha kwisha kuchaguliwa kwenda ualimu UDOM mi nawashauri wa changamkie tenda, maisha ni popote pale, our life is undefined you can win and vice-versa! in regarding no any close professional!
  12. zephaniawilliams

    Ni lini post za Vyuo vya Afya zitatoka kwa mwaka 2015?

    yaaaaaani ustadhijuma sikudanganyi waliochaguliwa wengi ktk hii thread yako ni wale waliochagua pravate, km wapo wa government ni wachache sana!
Back
Top Bottom