Recent content by Zegota

  1. Zegota

    Nigeria: Mwanasiasa akutwa na Bilioni 1.16 taslim wakati wa uchaguzi

    Duuh 1B? Kuna mijibu Ina pesa bhana
  2. Zegota

    Kuna mda wanawake kwa tamaa zao wanafanya watoto wanakosa haki kwa baba zao

    Sasa ndugu yangu hapo si inabidi uoe kabisa, watoto wawili kwa mama mmoja
  3. Zegota

    Kuna mda wanawake kwa tamaa zao wanafanya watoto wanakosa haki kwa baba zao

    Nilikuwa na mahusiano ya mda mrefu na binti mmoja tangu tukiwa masomoni kiasi kwamba mpaka ndugu na wazazi wa pande zote wakayafahamu mahusiano yetu. Tuliendelea kuwa pamoja hata wakati ambapo tulikuwa tumemaliza masomo yetu ya elimu ya juu. Tuliishi wote nikiwa nimepanga baada ya kupata kidogo...
  4. Zegota

    Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

    Mpaka hapa nimesalimika, Sina HIV na hofu nimeivua rasmi kuanzia Leo. Yule dada msengerema sana na atakuwa kawaambukiza na anaendelea kuwaambukiza wengi virusi Kwa makusudi kabisa Jamani sio Kila unaekutana nae mzuri ni wakupapatikia kapieni kwanza kabla ya kudunguana kama huwezi kutumia...
  5. Zegota

    Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

    Mzee mbona kama unaingilia mipangilio yangu ya maisha, then unataka nifate vile unavoona wewe ni sahihi. Mwamba kuna sehemu hauko sahihi
Back
Top Bottom