Recent content by Zegota

  1. Zegota

    Familia zetu za Kiafrika zina matatizo gani, kwanini zina ubinafsi sana?

    Ukiwa na mafanikio halafu una wake wawili ni changamoto sana
  2. Zegota

    Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

    Kaka nimewasiliana nao wanasema ndio wamepewa rufaa now. Mimi niliondoka kuja msibani. Maana kulikuwa na msiba na huyo alikuwa kwenye bodaboda kwenda msibani ndio akapata ajali
  3. Zegota

    Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

    Hali ya mgonjwa nimepiga video Kwa kuibia wasinione. Huo mguu hauna nyama mpaka chini
  4. Zegota

    Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

    Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje. Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia...
  5. Zegota

    Mamlaka za kiafrica ni kama zimelaaniwa. Kulikuwa na haja gani serikali za Equatorial Guinea kuvujisha video za ngono

    Wakuu habarini. Hizi serikali zetu ngozi nyeusi zinapenda sana mambo ya kipuuzi ili kuzima ajenda zao Kwa wananchi Kwa serikali yenye watu wenye akili kulikuwa na haja gani ya kuvujisha zile video za ngono? Walienda kuchunguza kashfa za rushwa? Kwa nini baada ya kukutana na hizo video...
  6. Zegota

    Polisi: Tunamshikilia Franco Ruhinda, hajatekwa

    Huyu ni nani na alifanyaje?
Back
Top Bottom