Recent content by Zee La Busara

  1. Zee La Busara

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Umeongea vyema..... Ila huenda Putin ameona njia hii itakua na impact kubwa zaidi kama tuonavyo sasa.. Urusi ikivuka salama kwenyehili kunamabadiliko makubwa sana yatatokea katika nyanja zote.
  2. Zee La Busara

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    chukulia mfano wa nyoka na wadudu (NaTo), na nyumba iliopo remote area (Urus). mwenye nyumba inamlazimu kufyeka vichaka ili nyoka na wadudu wengine wasiweze kukaribia na kuingia nyumban wanaweza sababisha nyumba isikalike. ila haiondoi uhalisia ya kua nyoka anamuogopa mwenyenyumba
  3. Zee La Busara

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    maelezo yako ungeyasaport na link yangekaa poa zaid, natumai hii pic hujaipiga wewe.....
  4. Zee La Busara

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Naona umeamua kujitekenya na kucheka.. Wananchi wa mataifa ya ulaya wameanza kulalama juu ya bei za mafuta na Ges. Wakat huohuo wameambiwa walipe kwa rubles wanalalama yakua urus ana breach contract... Kama wanajimudu si waache kabisa kununua mafuta na ges toka kwa Putin
  5. Zee La Busara

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ukraine inatumika kama ulingo
Back
Top Bottom