Recent content by zboy

  1. zboy

    Online Shopping

    Habari zenu wana JF, tumaimai mko vyema. Mie swali ni kuhusu kupokea mzigo, ukiwa umefanya order kutoka Aliexpress kuja Tanzania hasa Zanzibar mzigo unapokelea wapi? Ahsante
  2. zboy

    Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

    Hiyo simu ni feck ndio maana inauzwa bei hiyo hata ukiangalia hiyo picha ya simu walio post si S22 Ultra ya Samsung. Mkuu hilo ni tango pori.
Back
Top Bottom