Habari zenu wana JF, tumaimai mko vyema. Mie swali ni kuhusu kupokea mzigo, ukiwa umefanya order kutoka Aliexpress kuja Tanzania hasa Zanzibar mzigo unapokelea wapi?
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.