Dr. Nchimbi alijitolea na sasa ameodoka. Mara zote huwa nalinganisha na yaliyotokea 1984 kwa mzee Jumbe. Mwendo ni uleule - ukiwa uchawini, sisi huita wanga/wangani usitoe Siri za wanga, ukitoa utashuhulikiwa. Niwaambie tu tutahadharini kuingia kwenye wangani/wangani kwani ukishaingia hutoki...
Soma vizuri dadangu. Nimesema ni utaratibu wa Serikali. Na hapa niongeze: Ni kwa maslahi ya kiusalama ya nchi na mhusika mwenyewe. Siku nyingine tulia usome vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.