Recent content by Zawadini

  1. Zawadini

    Netanyahu na HAMAS katika siku 2 Muhimu za Tafakuri

    Huoni kuwa hii ni kinyume chake?
  2. Zawadini

    Netanyahu na HAMAS katika siku 2 Muhimu za Tafakuri

    Kwangu nayaona kama ndoto za mchana.
  3. Zawadini

    Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

    Nani kalazimshwa afunge? Na hilo limetokea wapi? Lini?
  4. Zawadini

    Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

    Swala si kuathirika kwa mtu kula mbele yako ila hapa swala ni kuheshimu mila na desturi za wenyeji. Kuna majaribu ya kuigeuza na kuibadili Zanzibar kama ilivyofanywa Dar es salaam. Hili kwa uwezo wa Mungu halitofanikiwa. Huwezi kuheshimu mila na desturi usije Zanzibar. Thamani ya Zanzibar haipo...
  5. Zawadini

    Qatar tangu lini mliipenda Tanzania kiasi hiki?

    Mkuu umeandika. Nakushauri fanya mambo kwa wastani kwani unaweza kujikuta unapata uchizi kwa mambo madogo tu. Hizi nchi zilikuwepo na zitaendelea kuwepo bila kujali wewe utakuwepo au la. Au nasema uongo ndugu zangu?
  6. Zawadini

    Raia wa Zanzibar wapigwe marufuku kupiga kura ya kumchagua Rais wa Tanganyika

    Inaelekea hujui hata unachozungumza, na hili ndo tatizo la kujifanya mjuaji.
  7. Zawadini

    Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

    Ni vyema yaishe na kila mmoja amuheshimu mwenzake.
  8. Zawadini

    Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

    Wewe ndo huna akili kwani hata kujua kilichoandikwa hujui, bali pia umeongeza jambo jingine, nalo ni ujinga.
  9. Zawadini

    Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

    Mkuu narejea tena kukuambia kwamba hujui na hutaki hata kujifunza. Mjinga akielimishwa na bado akawa mjinga, huyu huitwa MPUMBAVU. Ikiwa wewe unaona upande wa Zanzibar unanyonya Tanganyika, wapo tunaoona upande wa Tanganyika unanyonya Zanzibar. Nakuhakikishia tu kwamba najua ninayoyasema...
  10. Zawadini

    Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

    Ukiongea uwiano wa watu unapaswa kuweka takwimu sahihi na sio kutoa yako isiyokuwa sahihi. Hili hukulifanya na ndo nkakuweka sawa kwani hujui na inakurupuka. Hapa tena huijui katiba, nenda kasome tena. Mkuu huna unaloljua unakurupuka tu. Kumbuka tu kwamba muungano ni swala la ksheria na...
  11. Zawadini

    Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

    Angalia pia na Watanganyika wenye vyeo mpaka Ikulu halafu ulete tena uzi. Sikiliza pia kelele za Wazanzibari. Ukiona kwako kwaungua ujue kwa mwinzio kwateketea. Hata kujua kinahoendelea hujui halafu unaleta longolongo jukwaani kwa ujinga ( ignorance). Sikiliza: Kwa mujibu wa sensa ya mwisho...
Back
Top Bottom