Recent content by Zawadini

  1. Zawadini

    Siasa ndani ya vyama ziliwakataa Prof. Mwandosya na Salim A. Salim zikatuletea Jakaya Kikwete na hapa ndipo tulipo sasa

    Kijakazi; Nikurudishe nyuma kidogo kwani huenda hukuwepo au huijui. Mwaka 1984 wakati Mwalimu Nyerere anga'atuka alitaka Salim awe Rais. Unajua kuwa Nyerere alikuwa Mkatoliki? Badala yake akateuliwa Mwinyi Senior. Unajua kwamba alikuwa Mwislamu? Haya ya juzi ya Kikwete ni mwenfelezo ya...
  2. Zawadini

    Hilda Newton: Hili liwe funzo kwa Mafwele na genge lake. Christopher Bagenyi kunyongwa hadi kufa

    Akifanya kama alivyofanya Begenyi. Kwa maelezo yako huyu Begenyi alifanya ujambazi wa kitumia silaha.
  3. Zawadini

    Wosia wa William Lukuvi: Wazanzibari hawatupendi Watanganyika. Tukiwaacha Uhuru Watatusumbua na siasa kali

    Kwahivyo Nyerere, Siita na Lukuvi sio Watanganyika? Mkuu; Zanzibar ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo bila kujali nani anapenda na nani anachukia.
  4. Zawadini

    Wosia wa William Lukuvi: Wazanzibari hawatupendi Watanganyika. Tukiwaacha Uhuru Watatusumbua na siasa kali

    Kwenye hili nikukumbushe tu kwamba hajaanza yeye. Nyerere kabla ya uhuru wa Tanganyika alisema angekuwa na uwezo angeichukua Zanzibar na kuitupa bahari ya Hindi. Samuel Sitta akasema maneno kama ya Lukuvi Kwaufupi, Watanganyika wanataka waitawale Zanzibar ila kwabahati, hili linawashinda na...
  5. Zawadini

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Mkuu; unaelekea una jazba na ujinga kidogo Huenda huelewi unalolizungumza! Lukuvi ni mmoja wa watu waliosema hayo, tena akiwa kanisani. Ukiniuliza ni katika mazingira gani, jawabu ni katika mazingira ya kuidhibiti Zanzibar. Huyo ni Lukuvi. Wengine waliosema hayo ni Samuel Sitta katika...
  6. Zawadini

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Huenda uko sawa kwani siku zote mwendawazimu hujisifia ana akili!! Vipi mkuu kwenye hili? Naona unajisahau. Usijisahau kupita kiasi.
  7. Zawadini

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Inaonekana hujui hata unachozungumza. Hapa Afrika Mashariki (Tanzania, Kenya na Uganda) tulikuwa tunatumia shilingi sote. Jee sote tulikuwa chini ya nani. Wewe unataka utofauti gani? Huenda nazungumza na mtoto mdogo lkn tuende tutafika tu
  8. Zawadini

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Ikiwa ni hivyo nasi tunajadili mbinu za kimapambano. Hatujawahi kuridhia. Liliopo ni kulazimishana tu hivyo tutaendelea kusema hasa pale wanapojitokeza kusema ovyo. Sijazungumzia uwezo. Usitoke kwenye mada. Maneno yanatoka Bara hivi sasa kwasababu kiongozi anatoka Zanzibar. Yeye yupo hadi 2030...
  9. Zawadini

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Tafadhali usizumgumze vitu usivyovijua. Scotland ina benku kuu na sarafu yake kama ilivyo GB. Kwa ushahidi nenda leo bureaux de change uulizie Scotland pound, halafu urudi tujadili. Kama hujui sema uelezwe tu. Hapa ni JF home of great thinkers.
  10. Zawadini

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    1. Kwanza sio watu 12. Hata ripoti rasmi haisemi hivyo. 2. Hizi takwimu tungoje zilizo rasmi. Ukitumia takwimu hizi, CUF wakati ule takwimu zao zilikuwa ni watu 300.
  11. Zawadini

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Yeye na wengine akina Lukuvi wataiona hivihivi Zanzibar. Ipo tu na inastawi bila kujali chuki zao.
Back
Top Bottom