Kijakazi;
Nikurudishe nyuma kidogo kwani huenda hukuwepo au huijui. Mwaka 1984 wakati Mwalimu Nyerere anga'atuka alitaka Salim awe Rais. Unajua kuwa Nyerere alikuwa Mkatoliki? Badala yake akateuliwa Mwinyi Senior. Unajua kwamba alikuwa Mwislamu?
Haya ya juzi ya Kikwete ni mwenfelezo ya...
Kwenye hili nikukumbushe tu kwamba hajaanza yeye. Nyerere
kabla ya uhuru wa Tanganyika alisema angekuwa na uwezo angeichukua Zanzibar na kuitupa bahari ya Hindi. Samuel Sitta akasema maneno kama ya Lukuvi
Kwaufupi, Watanganyika wanataka waitawale Zanzibar ila kwabahati, hili linawashinda na...
Mkuu; unaelekea una jazba na ujinga kidogo
Huenda huelewi unalolizungumza!
Lukuvi ni mmoja wa watu waliosema hayo, tena akiwa kanisani. Ukiniuliza ni katika mazingira gani, jawabu ni katika mazingira ya kuidhibiti Zanzibar. Huyo ni Lukuvi. Wengine waliosema hayo ni Samuel Sitta katika...
Inaonekana hujui hata unachozungumza. Hapa Afrika Mashariki (Tanzania, Kenya na Uganda) tulikuwa tunatumia shilingi sote. Jee sote tulikuwa chini ya nani. Wewe unataka utofauti gani? Huenda nazungumza na mtoto mdogo lkn tuende tutafika tu
Ikiwa ni hivyo nasi tunajadili mbinu za kimapambano.
Hatujawahi kuridhia. Liliopo ni kulazimishana tu hivyo tutaendelea kusema hasa pale wanapojitokeza kusema ovyo.
Sijazungumzia uwezo. Usitoke kwenye mada. Maneno yanatoka Bara hivi sasa kwasababu kiongozi anatoka Zanzibar. Yeye yupo hadi 2030...
Tafadhali usizumgumze vitu usivyovijua. Scotland ina benku kuu na sarafu yake kama ilivyo GB. Kwa ushahidi nenda leo bureaux de change uulizie Scotland pound, halafu urudi tujadili. Kama hujui sema uelezwe tu. Hapa ni JF home of great thinkers.
1. Kwanza sio watu 12. Hata ripoti rasmi haisemi hivyo.
2. Hizi takwimu tungoje zilizo rasmi. Ukitumia takwimu hizi, CUF wakati ule takwimu zao zilikuwa ni watu 300.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.