Swala si kuathirika kwa mtu kula mbele yako ila hapa swala ni kuheshimu mila na desturi za wenyeji. Kuna majaribu ya kuigeuza na kuibadili Zanzibar kama ilivyofanywa Dar es salaam. Hili kwa uwezo wa Mungu halitofanikiwa. Huwezi kuheshimu mila na desturi usije Zanzibar.
Thamani ya Zanzibar haipo...
Mkuu umeandika. Nakushauri fanya mambo kwa wastani kwani unaweza kujikuta unapata uchizi kwa mambo madogo tu. Hizi nchi zilikuwepo na zitaendelea kuwepo bila kujali wewe utakuwepo au la. Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu narejea tena kukuambia kwamba hujui na hutaki hata kujifunza. Mjinga akielimishwa na bado akawa mjinga, huyu huitwa MPUMBAVU. Ikiwa wewe unaona upande wa Zanzibar unanyonya Tanganyika, wapo tunaoona upande wa Tanganyika unanyonya Zanzibar. Nakuhakikishia tu kwamba najua ninayoyasema...
Ukiongea uwiano wa watu unapaswa kuweka takwimu sahihi na sio kutoa yako isiyokuwa sahihi. Hili hukulifanya na ndo nkakuweka sawa kwani hujui na inakurupuka.
Hapa tena huijui katiba, nenda kasome tena.
Mkuu huna unaloljua unakurupuka tu. Kumbuka tu kwamba muungano ni swala la ksheria na...
Angalia pia na Watanganyika wenye vyeo mpaka Ikulu halafu ulete tena uzi.
Sikiliza pia kelele za Wazanzibari. Ukiona kwako kwaungua ujue kwa mwinzio kwateketea.
Hata kujua kinahoendelea hujui halafu unaleta longolongo jukwaani kwa ujinga ( ignorance).
Sikiliza: Kwa mujibu wa sensa ya mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.