Recent content by Zawadini

  1. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Tanzania Twitter/X asubuhi ni kama kanisa.

    Unazungumzia hii JF yetu? Husema kuwa "JF Home of great thinkers". Jina si mboje. Sasa siyo tena.
  2. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    Dr. Nchimbi alijitolea na sasa ameodoka. Mara zote huwa nalinganisha na yaliyotokea 1984 kwa mzee Jumbe. Mwendo ni uleule - ukiwa uchawini, sisi huita wanga/wangani usitoe Siri za wanga, ukitoa utashuhulikiwa. Niwaambie tu tutahadharini kuingia kwenye wangani/wangani kwani ukishaingia hutoki...
  3. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Mwigulu hapenyi 2030 — Kuna nini kinawatisha?

    Sijasikia wa upande huu. Au sisi hatustahiki?
  4. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Sawa mkuu. Omba nawe uwe hai wakati yeye anakufa. Polepole sana, usijekutangulia mukakutana kuzimu.
  5. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Ndio Watanganyika hao. Nasikia wameenda shule, na wale wangine wa upande wa pili ni wa madrasa tu. Fanya tafakuri ya kina.
  6. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Mkuu umeshaamka? Hivi unaona hii ya kuthibitishwa na bunge ndio suluhisho? Si mlisema Ndejembi hafai na akathibitishwa na bunge? Dawa ni mfumo mpya.
  7. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Teuzi mpya kurindima hivi punde, kigezo kikuu ni Rambirambi za Kizimkazi

    Na CHADEMA tutaukwaa uteuzi pia. Tulituma salamu za rambirambi. Au ni kutaka Mwenyekiti/Rais wetu aonewe huruma?
  8. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Sheria ya TISS
  9. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Si swala la kuiga bali ni swala la kiusalama kwa serikali na mhusika. Wewe unaonaje?
  10. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Soma vizuri dadangu. Nimesema ni utaratibu wa Serikali. Na hapa niongeze: Ni kwa maslahi ya kiusalama ya nchi na mhusika mwenyewe. Siku nyingine tulia usome vizuri.
  11. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Nimezungumzia serikali ambayo hata CHADEMA wanaweza, siku moja, wakawa ndio wanaoiendesha.
  12. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Msijeshangaa kusikia Lissu kaachiwa huku Bi. Mkubwa baadae akija kusema niliombwa na Mbowe

    Hata nami naiona hiyo. Hapa ni kihakikisha Lissu hagombei tena uraisi. Dadek.
  13. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Mkuu, huu ni utaratibu wa Serikali. Hata CHADEMA siku wakiingia ikulu ikatokea kama hivi watafanya hivihivi.
  14. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Mwachieni Nchimbi mambo ya kuwekana vizuizini ni mambo ya kishamba

    Alipojiuzulu Aboud Jumbe mwaka 1984 akawekwa kizuizini mbona hamkusema? Au kwasababu ni Nchimbi? Taratibu ni zilezile hazijabadilika.
  15. Zawadini

    JamiiForums Tanzania Yaani Samia aliyeenda kumwona Lissu hosptali, hamtaki aende mahakamani kumtetea Lissu hasinyongwe kweli?

    Kwasababu fadhila za punda ni mashuzi.
Back
Top Bottom