Recent content by zarai

  1. Z

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Naomba ushauri wadau kuhusu ipi Gari nzuri kati ya Toyota camy; ist; na Suzuki jimny.kazi kubwa kuendea kazini na napandisha mlima kidogo.IPI itanifaa
  2. Z

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Na chaguo la pili Raum IPI nzuri Suzuki jimny au raum
  3. Z

    Ushauri: Ununuaji wa magari

    Habar wapendwa nataka kununua Suzuki Jimny je ni nzuri?VIP spare zinapatikana?
  4. Z

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Lege sina utaalamu wa gari naomba Namba ya huyo Fundi aweze kunisaidia mana hata gari naogopa kutoka nayo.plzz
  5. Z

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nipo Dodoma.walifunga cylinder gasket sasa and kuanzia hapo gar kama wamechokozaa.taa hiyo inawaka.kuna mtu akasem eti wamekosea timing.sasa mim sielew mana napata hofu kutok nayo na kazini napandisha mlimaa.plz nisaidieni mana gar ilikua nzima kabisa haiwak taa hizo.Ila bada tu ya kufunga hicho...
  6. Z

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Hiee Nina raum new model nkiwasha gari taa ya engine ya njano inawaka n mda mwingine inazima.tatizo itakua nini
  7. Z

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Naomba msaada Nina raum new model Ila taa ya engine inawaka njano nkiwasha gari halafu kuna mda inazima kuna mda inawaka sielewi nifanyeje.
Back
Top Bottom