Recent content by Zanziquest Limited

  1. Zanziquest Limited

    Habari Zenu Wanajukwaa

    Ofisi Zetu zipo Zanzibar, mtaa wa mombasa, kigorofani street
  2. Zanziquest Limited

    Habari Zenu Wanajukwaa

    Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwenye namba 0672728871
  3. Zanziquest Limited

    Zanzibar Dolphin Tour

    Wanakaribishwa kuja kutembea na wewe pia karibu sana!
  4. Zanziquest Limited

    Zanzibar Dolphin Tour

    Ni Muhimu kujihakikishia Seat yako mapema. Unaweza kutembelea ukurasa wetu wa instagram @zanziquest au unaweza kuwasiliana nasi moja kwa moja kupitia +255 672 728 871, namba inapatikana kwenye whatsapp pia.
  5. Zanziquest Limited

    Zanzibar Dolphin Tour

    Habari mkuu, Moja kati ya faida ya kufanya group trip ni ku share cost na wengine na ndio maana bei iko chini. Kutakuwa na Limited Seats, ambazo ni 21 seats only, tukikamilisha idadi hio tutasimamisha kupokea booking. tutatumia usafiri wa Bus moja (ikiwa wamefika watu 21), lakini tukifika...
  6. Zanziquest Limited

    Zanzibar Dolphin Tour

    Jumuika nasi tarehe 12 August 2019 kwa ajili ya safari ya kwenda kuwaona dolphin wakiwa baharini na kuogelea nao 😃 Makutano ni Forodhani Park, Zanzibar saa 1 kamili Asubuhi! Bei ni 25,000 tu kwa mtu,kwa raia wote wa Afrika Mashariki. Bei inajumuisha Usafiri wa kwenda na kurudi Mjini Stonetown...
  7. Zanziquest Limited

    Habari Zenu Wanajukwaa

    Kama ndivyo nilivyokufahamu, mambo ya kipozea na mkia wa maana hayo yatakuwa nje ya uwezo wetu kwa kweli. Karibu Visiwani ubadilishe upepo kidogo :)
  8. Zanziquest Limited

    Habari Zenu Wanajukwaa

    Kisiwa cha Zanzibar sio kikubwa, ila kina sehemu tofauti tofauti za kutalii. haswa kwenye mambo ya khisotria, ukiwaunataka ku enjoy na vile vile sehemu nyingi tu nzuri kwa ajili ya ku relax tu. Fukwe za Zanzibar ni moja kati ya fukwe bora kabisa Afrika Mashariki. Karibu kutembea
  9. Zanziquest Limited

    Habari Zenu Wanajukwaa

    Natumai Nyote ni wazima wa afya na aliekuwa si mzima basi Mungu atamponesha. Kama Username ilivyo, ni Tour operator ambayo ipo visiwani Zanzibar. Tunapenda kuwakaribisha wale ambao wangependa kutembelea visiwa vya Zanzibar, nitakuwa na post group tours na kwa aliekuwa interested anaweza...
Back
Top Bottom