tatizo c lulu kushikiliwa tatizi ni kuwa hawajamtendea haki angepelekwa polisi kwa mahojiano na baada ya kuchukua maelekezo yake angeachiwa hadi uchunguz ukamilike na baada ya hapo kama itagundulika amehusika na kifo cha kanumba hapo ndo angekamatwa na si kumweka m2 ndani bila uchunguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.