Ndomaan nikasema ukipata mtu mzoefu na izo Noah ndugu hiyo ni ngumu ata kwangu lakini wapo watu wanauzoefu na nikakutolea mfano hapo airport kuna watu nawafahamu wanafanya kazi na izo gari na kwamadai yao wanaingiza iyo pesa japokua sio kila siku ila Mimi natafuta ninayoiweza ambayo nnauzoefu...
Uber xl inafanya uwa zinakazi sana Noah kama utapata dereva mzoefu wa biashara za magari nenda airport pale kuna jamaa wanafunga siku na mpaka laki tatu
Zile ni ngumu wanazitoa kwa hesabu kubwa sababu ya interest na service ufanye dereva mwenyewe so tafuta pesa ya lejesho tafuta pesa ya mafuta tafuta pesa ya service ya gari iwe ni service kubwa au ndogo tafuta pesa ya kula alafu na pesa ya traffic na ukizingatia ugumu wa hii biashara kwa sasa...
Kaka mi mwenyewe ni dereva najua kinachoendelea na sijajinasibu kwamba nitafanyia services gari huyo ni mtoa post ndo anataka kufanyia gari service mi natafuta gari ya hesaba 25 elfu kwa siku na nnaiweza ila services anafanya boss
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.