Wewe kaka aliyekwambia msichana akiwa bikra ni mbaya ni nani?acha uboya wewe kuwa bikra nikujiheshimu tu mwenyewe naamini kama ukifanikiwa kuniona lazima ujiulize nimewezaje kukwepa vishawishi vyote vya wanaume, kuwa bikra haimaanishi hujawahi kuingia mahusiano na ngono sio mapenzi bali nikitu...
Ukiona umeoa bikra alafu akaanza kuchepuka kwenye ndoa jua huyo ni limbukeni kama umeweza kujitunza miaka yote hiyo unashindwa nini kutulia kwenye ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.