Recent content by zagaro

  1. Z

    Precision Air wamshusha Dr. Azaveli Rwaitama kwenye ndege kisa Lugha

    Inamaana kwa sasa watu wooote wasiojua kusoma na kuelewa kingereza hawatakiwi kwenye ndege ya PW hiii si hatari? Mbona ukisafiri na KQ Kenya airways hata upandie London lugha wanatumia Swahili na English huuu ulimbukeni tumeutoa wapi?
  2. Z

    Kwa watanganyika wote. Dctd.

    Hiyo ndugu ni ile wanasema wahenga binadamu akila samaki wala sio tabu ila sasa huyo samaki akila yeye atasakwa huyo na kusakamwa.
  3. Z

    Makamanda wa chadema!!

    Hilo ni jeshi la makamanda wapuuzi lenye wapiganaji vipofu na wasiosikia. Haya makamandaaaaaaaaaaa.
  4. Z

    Jack Cliff hatanyongwa wala kufungwa

    Magari mazuri mbwembwe nyingi kumbe sembe.sasa sitini umeona mwakani wakati tata madiba alikaa 27 tu karudi Mzee itakuwa huyo was kula biskuti. Huyo tumsomee hitma tu.
Back
Top Bottom