Recent content by zagamba deo

  1. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

    SARUNGI ANAVYOYASHINIKIZA MATAIFA MAKUBWA YAIPIGE TANZANIA Maria Sarungi Tsehai amejisifu kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba ameishitaki Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa eti kwa tuhuma ya Uhalifu dhidi ya Ubinadamu (Crimes Against Humanity). Kiufupi, huyu anataka Tanzania ivamiwe na...
  2. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

    Kingine nilicho kiona kwa Maria ni mchumia tumbo. Sent from my Plume L2 Pro using JamiiForums mobile app
  3. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

    Crimes against humanity like War crimes, murder, massacres, dehumanization, genocide, ethnic cleansing, deportations, unethical human experimentation, extrajudicial punishments including summary executions, use of weapons of mass destruction, state terrorism or state sponsoring of terrorism...
  4. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

    Crimes against humanity like War crimes, murder, massacres, dehumanization, genocide, ethnic cleansing, deportations, unethical human experimentation, extrajudicial punishments including summary executions, use of weapons of mass destruction, state terrorism or state sponsoring of terrorism...
  5. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Uchaguzi 2020 una pande mbili

    Hivyo vyote ulivyovitaja Ni chuki binafsi Sent from my Plume L2 Pro using JamiiForums mobile app
  6. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania Hivi Lissu ana dini kweli?

    Toka kipindi Cha nyuma sijawahi muona lisu anakuja kanisani Wala jumuiya na nipo naye jirani Sent from my Plume L2 Pro using JamiiForums mobile app
  7. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Uchaguzi 2020 una pande mbili

    UCHAGUZI WA MWAKA HUU UNA PANDE MBILI 1. Kuchagua Maendeleo ya Watu na Vitu Kama ilivyoelezwa kwenye ilani ya CCM, ama Kuchagua Unyonyaji wa raslimali zetu kupitia kwa wakala wa mabeberu kama inavyoelezwa kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA kuwa wataweka rehani madini na raslimali nyinginezo...
  8. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

    Kura nyingi Magufuli anabeba Kilimanjaro na wabunge wake
  9. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ziara ya Dkt. Magufuli Kilimanjaro imebeba ajenda za msingi

    Raisi mwenye maono ndio Tanzania inamuhitaji
  10. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kesho ya WanaCCM ipo miguuni mwao kujitakasa mbele ya Rais Lissu

    Lissu amejibu (VOA) anafanya kampeni bila kuzingatia tahadhari za CORONA kwa sababu sio tatizo Tanzania. Amekiri kuwa walikosea kumpinga JPM. Kenya imewagharimu mikopo ya zaidi ya dola 2.4bn, biashara nyingi kufa! Uongozi ni maono jamani!Sio kuiga tu !Tumebahatika JPM ana maono!
  11. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

    RAISI MAGUFULI AMALIZA HOJA ZA WAPINZANI Na Mackdeo Shilinde Ndugu Wana jukwaa la siasa wenzangu nawasalimu katika jina la Bwana wetu Yesu kristo wa Nazareth na mtume Muhammad (SAW) Wana jukwaa wenzangu kwa Sasa ukiangalia hali ya kampeni zinazoendelea,wazi kabisa utaona kuishiwa kwa hoja kwa...
  12. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rais Magufuli asema soko la Mabibo, maarufu kama Mahakama ya Ndizi kumilikiwa na wananchi

    Kitila aomba soko, Magufuli ampa hapohapo. Rais John Magufuli amewapa wafanyabiashara wa Soko la Ndizi Mabibo umiliki wa soko baada ya kuombwa na mgombea ubunge wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, leo. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Barafu, Mburahati, Rais...
  13. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 kitila Mkumbokumbo aendelea na kampeni za kuwania Ubunge katika Jimbo la Ubungo

    Ndugu Wana jukwaa wenzangu nawasalimu. MAKULUMLA ndio hilikiwa ngome ya chadema kwa Jimbo la Ubungo lakini Toka kitila apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama Cha mapinduzi, wakazi hao wamekuwa na kiu kubwa ya kutaka kuonana na kitila na kumueleza hisia zao za moyoni. Baada ya kitila...
  14. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania GE2020 PICHA: Boniface Jacob atikisa kata ya Makuburi, CCM yafungishwa virago

    Mbunge Ni kitila huyu boni naona Kama anapoteza muda wake
  15. zagamba deo

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Kota za Ubungo Nation house wamsubiri Boniface Jacob (CHADEMA) kwa hamu

    WAKAZI WA KOTA ZA UBUNGO WAMSUBIRI Boniface Jacob KWA MAWE NA MARUNGU Na Mackdeo Shilinde Ndugu zangu wa Ubungo nawasalimu katika jina la Bwana. Binafsi mimi ni miongoni ya vijana ambao tunafatilia Sana hali ya kisiasa na kampeni zinazo endelea jimboni. Kuna baadhi ya Mambo nimekutana nayo...
Back
Top Bottom