Recent content by Zachason

  1. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Ni kweli tatzo usalit wa kutembea nje kabra hata cjamwoa, unakuja kujua kuna watu wamemvunja mkiwa kwenye uchumba, mzee unaoa unambiwa "kuna m2 nililala nae" dah aisee kuwa kichaa ujue dakika zero
  2. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Ila kweli nahc kuondoa stress bora nione jinsi ya kuikomboa roho yangu
  3. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Dah mzee ni hatali ujue yani moyo wangu hauna amani na yy nkikumbuka Nilivyo jituma kwake uanaume job aisee
  4. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Sababu ya msingi hamna ujinga na uzembe tu
  5. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Na kujua Juwezi jua kama unamzdi au lahh
  6. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Dah kweli boss hata mm nina mashaka
  7. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    No sio kisela, home [emoji537] kabsa na ilikua public kwao na kwetu wanajua kua ni watarajiwa
  8. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Inshu si bikira, insu ni usalit alio ufanya tukiwa kwenye mahusiano
  9. Zachason

    Naomba ushauri: Mpenzi wangu alinisaliti wakati nipo masomoni

    Inshu sio bikira inshu usaliti during in relation
Back
Top Bottom