Recent content by Yusuphnyonyi

  1. Y

    JamiiForums Tanzania KERO Singida: Zahanati ya Kijiji cha Mjughuda inatoza pesa huduma huduma zinazopaswa kutolewa bure

    Hii hali ipo kwenye Eneo la Zahanati ya Kijiji Cha Mjughuda, kata ya Ikhanoda wilaya Singida vijijini mkoani Singida. Ambapo wahudumu wa Zahanati hiyo wanatoza hela na kuwalipisha wananchi hela ili wapate huduma ambazo kimsingi zinatolewaga bure. Huduma hizo ni kama vile 1-Kadi za kliniki...
Back
Top Bottom