Recent content by yusujoe

  1. Y

    Dk. Benson Bana anena kuhusu kauli ya Katibu Mkuu wa CCM: Suala la watu kushiriki au kutoshiriki uchaguzi ni hiari

    Huyu Benson Bana hael Huyu Benson Bana haelewi ni kitu gani cha kusema kwa umri wake. Umri wake na wadhifa wake ni wakati wa kutoa kauli zenye kuongoza jamii. Huyu bado anafikiri teuzi toka serikalini. Hajajua dawa ya jipu ni kulitumbua.
  2. Y

    Dr. Mwele Malecela aula WHO

    ukweli ni kwamba mtu ambaye ana uwezo na uadilifu kwenye kazi yake hawezi hata siku moja kuadhirika. Changamoto au job politics ni za muda tu
Back
Top Bottom