Vema sana best ake Lau
Ila Mimi naona ukae uisome chapisho lako Kuna marekebisho madogo mfano neno la kwanza mada taja apo juu badala ya mada tajwa pia neno jinsi unasema njisi soma vzur Kuna option ya kuedit ufanye hivyo All in all ujumbe mzuri kwa wazazi
Mimi naona kampuni zenyew za bima ziungane na mamlaka TIRA kutoka elimu juu ya hoo bima TPO maana watu wanakata hoo bima wanajua kuwa wanakata ili wasikamatwe na polisi tu barabarani , lakini kumbe hip bima Ina kazi yake ndo maana ni lazima na kazi yake kulinda Mali na usalama wa raia ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.