Recent content by yuka

  1. Y

    Najaribu kulog in website ya HESLB haifunguki kwenye akaunti ya kuombea mkopo

    Ni tatizo la wengi ONLINE SYSTEM yao iko imezidiwa watu wengi wanaingia at the same time. Kama upo Dar nenda bodi pale Mwenge watakusaidia kungalia
  2. Y

    Msaada: Account ya HESLB haifunguki

    kama unaishi dar nenda bodi pale watakusaidia
  3. Y

    heslb IT system yao iko chini sana.

    kwangu haijafunguka kabsa
  4. Y

    heslb IT system yao iko chini sana.

    till nw watu hatujui tumepata asilimia ngapi japo majina tumeshayaona kupitia pdf za watsup. kwenye ku apply pia ilisumbua mtu umelipa lakin account haifunguki wengine control no unapata baada ya siku kama tatu kupita.
Back
Top Bottom