Lengo aje akili kuwa ni yy kweli nimkabizi mkewake waendelee na maisha yao m siwezi kumlea tena muda wake umekwisha apishe nafasi imebaki kwa wadogozake tu.
Binti yangu anasona kidato cha 3 kabebeshwa ujauzito na mwanafunzi mwenzie wa kidato hichohichi nikaendanae mpaka shule tukamkuta mwl wake wa darasa mwl akatuagiza tukampimishe kujilidhisha akateuliwa madam na binti yangu wakaenda madam akarudi na majibu nikwli nimjamzito. Baada ya hapo...
Wapendwa naombeni msaada wa kisheria
Binti yangu kapewa ujauzito na mwanafunzi mwenzie wanayesomanae kidato cha 3 baada ya kumuuliza akamtaja huyo kijana nikamchukua binti mpaka shuleni. Nikamuelezea mwalimu wake wa darasa akadai akapime kujiridhisha akapewa Mwalimu wa kike majibu yakaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.