yowery kagoma
New Member
- Jun 6, 2022
- 4
- 11
Wapendwa naombeni msaada wa kisheria
Binti yangu kapewa ujauzito na mwanafunzi mwenzie wanayesomanae kidato cha 3 baada ya kumuuliza akamtaja huyo kijana nikamchukua binti mpaka shuleni. Nikamuelezea mwalimu wake wa darasa akadai akapime kujiridhisha akapewa Mwalimu wa kike majibu yakaja nimjamzito.
Akafuatwa yule kijana akahojiwa na mwl. Baba wa mtuhumiwa akapiga simu kwa mwl yakumtaka amtoroshe mtuhumiwa na mwl akalitekeleza hilo mpaka sasa mtuhumiwa hayupo nimebaki na binti yangu tu nyumbani sielewi pakuanzia naombeni msaada wa kisheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti yangu kapewa ujauzito na mwanafunzi mwenzie wanayesomanae kidato cha 3 baada ya kumuuliza akamtaja huyo kijana nikamchukua binti mpaka shuleni. Nikamuelezea mwalimu wake wa darasa akadai akapime kujiridhisha akapewa Mwalimu wa kike majibu yakaja nimjamzito.
Akafuatwa yule kijana akahojiwa na mwl. Baba wa mtuhumiwa akapiga simu kwa mwl yakumtaka amtoroshe mtuhumiwa na mwl akalitekeleza hilo mpaka sasa mtuhumiwa hayupo nimebaki na binti yangu tu nyumbani sielewi pakuanzia naombeni msaada wa kisheria.
Sent using Jamii Forums mobile app