AaaaaaaaaaaMinaki ni noma nilikuwepo hapo mwaka huu jamani pamekuwa pazuri bhana hamna shida ya maji tena wadau wangu ful matenk nw maji sh 100 tu,Heshima kwake Mkuu Chungu, Baba Rudo, Msanganyile,Gadafi, Madam Asha jamani katusaidia sana bila kumsahau Mr Abdala,Academic mwenyewe aah basi tu