Habari wadau.
Naomba kuelimishwa kidogo, au tuelimishane,
Mtanzania anakatwa kodi kwenye mapato yake (mshahara) then akienda kununua vitu au kupata huduma kutumia pesa ile ambayo amekatwa kodi tayari(mshahara), pia analipia kodi ile huduma/bidhaa anayonunua, je ni sahihi?
Na inawezekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.