Recent content by Young zigua

  1. Y

    Elimu na dini ni vitu tofauti

    Ndugu yangu umekurupuka kutoa mada eti "elimu na dini vitu tofauti" vitabu vyote vya dini vinasisitiza watu watafute elimu.ambayo itamuwezesha mtu amkumbuke mungu wake. hata hawa mafisadi wetu wangesoma kama dini zinavyotaka wangekuwa viongoz wazuri
  2. Y

    Tutarajie nini matokeo kidato cha nne 2013?

    Hahaha mshaanza malumbano? haya mambo ya tetesi yasha nichosha kuanzia post za ualimu hadi matokeo ya ualimu. kama hamna mambo mengne ya kielimu si bora tunyamaze kuliko kutiana presha tu wakati serikali yenyewe mnaijua kwa udanganyifu!
Back
Top Bottom