Dah sahihi mkuu.
Nimewaza mengi sana kwa sasa naona nibadili dini, nijitenge kabisa na maisha niliyo yazoea, nijiweke karibu na mwenyezi mungu.
Kiufupi niwe mtu wa tofauti kabisa na kawaida.
Mkuu utata wa mzee sijawahi ona kafokeana au kampiga maza.
Ila huyu mke wangu kumpiga ilikuwa ni lazma ili nimuweke sawa.
Mzee ni mtata kwenye misingi huwa hayumbishwi.
Ila mtoto wangu akibaki nae ataharibika, siwezi kabisa kusema abaki nae.
Wadau mi ni mtu mzima wa miaka 29,
Kuna binti nilikuwa na mahusiano nae mpaka tukaanza kuishi pamoja.
Kabla ya kuishi pamoja nilimpa ujauzito kwao wakaja kujua, binti alifokewa na kwao walimkataa asiende baada ya kumaliza chuo, Nilimhudumia ujauzito Lakini Mungu akasaidia kwao wakarudisha moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.