Recent content by Yombo08

  1. Y

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hizi za tamisemi kaka hazihusiana na wizara ya afya
  2. Y

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tamisemi wametoa mkeka wa kada ya Afya kupitia Utumishi, Wenye vigezo tukaongeze received huko
  3. Y

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shukrani Sana mtaalam kwa ufafanuzi na mchanganuo mzuri, nilikuwa nauliza maswali ni ya kazi husika au ni Aptude za kila siku tulizozoea
  4. Y

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Kanda ya ziwa, wamefanya interview jana na wengine kesho
  5. Y

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Hapana Jamaa yangu alifanya, ila alisubiria kwa muda wa miezi 4, ndio akaitwa oral
  6. Y

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    😂😂😂 Dar Pole sana, Ila pambania nafasi hio, usiiache ipotee hivi hvi
  7. Y

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Hii inatosha kusogezea siku kabsa wakati mambo mengine tukizd kuyapambania
  8. Y

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    inaweza kuwa shilingi ngap? kwa level hii ya direct sales
  9. Y

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Amebahatika maana kuna jamaa ana 77.5 hajaitwa
  10. Y

    Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

    Interview ni next week 4/04 So wakimalza hao labda watafata awamu nyingne kama mwaka jana, ila tuwe na amani hujatumiwa email ya kutokuendelea na wewe next step uhakika wa kuitwa oral upo, ni swala la muda tu.
Back
Top Bottom