Kwamba kuumizwa kwa vijana wengi ni kwasababu wanaingia katika mahusiano na hawako vizuri kiuchumu ndio maana WANAUMIZWA??🙂 Mapenzi pesa you mean
Asante sana ubarikiwe
S
DAh kumbe..🙂 sasa unadhani shida Iko wapi hapo maana tukizungumzia WANAUME kuwa romantic Sanaa kuliko uwezo wao wa kifedha au kiakili inasababishwa na wanawake kutaka watu wa hivoo...??
Hivi ni kweli vijana wengi wa sasa hawako matured enough? ndio maana wengi wanaumizwa kwenye mahusiano yao?
Naombeni majibu hapa... na kama ni kweli, tufanyeje? na kama si kweli, shida hasa ni nini hadi vijana wengi wateswe na mapenzi kizazi hiki ilihali wako matured? 🥱
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.