Ni sawa star tv wameongea ukweli na itv pia lkn hawa star mara nyingi taarifa zao hazitofautiani na zile za Tbc1, mara nyingi huegemea upande mmoja, na hii ni kwasababu tbc1 niya taifa hivo ipo chini ya serikili na star tv mmiliki wake ni kada mkubwa wa ccm (mwenyekiti mkoa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.