Ipi ni masters nzuri baada ya kumaliza BSc.Education(Bachelor of science with education),either M.Sc(Mathematics),M.Sc(Management) au kama kuna nyingine yoyote unayoifahamu,please naomba unifahamishe.I hope nitapata ushirikiano wa kutosha.natanguliza shukrani,asanteni
Nimepangiwa course programe hiyo,naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye ufahamu,je?naweza kuchukua Chemistry/Mathematics combination,pia naomba kujuzwa ukisoma masters unaweza ukasoma kitu tofauti na education kwa kozi hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.