mimi nashangaa serekali inatafuta mbia kuikoa ATCL ambayo ni national carrier na inasemekana kuna wa oman (waarabu) wameahidi kuifufua sasa sijui wataeleweka vipi wakipeleka hela za walipa kodi kwenye kampuni binafsi iliyohujumiwa wa wakenya ili waweze kumiliki hisa kubwa za PW
Kufilisika sio rahisi sana ila kinachowezekana ni wamiliki kubadilika kwani tiyari jina wanalo, serekali ni vigumu kuikomboa maana ni ya binafsi na serekali haifanyi biashara na isitoshe ya kwao ATCL wameshindwa kuifufua hivyo ikitaka kuikomboa Precision ni kutaka kutafuta kashfa mpya ya ufisadi...
kutoka 1995 na sasa ni mbali sana, mimi ninao jamaa zangu walikwenda japan 2002 wakasema maredio (music system zinatupwa majalalani, mimi nimehatika kwenda japan mwaka jana 2012, wafilipino wananunua takataka na kuzisafirisha kwao na nchi zingine takataka hizo ni pamoja ma redio,friji,hovers nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.