Jaman uwez amin kuhumwa niki2 kibya sana tena endapo aujui unacho umwa kuna jamaa katibiwa kila hosapital lakin akuna nafuu ila alikutana na doctor kutoka tumbi akagundua ansumbuliwa na ciphilicx gonjwa la zinaa vipele mwili mzim adi kutengwa kumbe aja athirika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.