Ukiona mwanamke anamdharau mwanaume, mara nyingi sana shida inakua kwa nwanaume. Na kurudisha heshima kwa haraka ni rahisi mnooooo kuliko unavyofikiria.
Wanawake hua wanatest wanaume. Na hata wao hawapangi kuwa wamtest mwanaume, wanajikuta tu wameshamtest mwanaume.
Ukipewa test ya kwanza...
Mwanamke aliyewafahamu wanaume, na hakuna mwanaume aliyechomoka kwake. Aliwezaje?
Alifukuzwa nchini kwake, lakini alikuja kuwa Malkia wa nchi ile ile aliyofukuzwa, Aliwezaje?
[emoji419] Mwaka 48 K.K, Ptolemy XIV wa Misri alifanikiwa kumfukuza dada yake ambaye pia ni mke wake Malkia Cleopatra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.