Kwa mtazamo wangu naona mbeya kuna ahueni ya maisha kuliko arusha mfano chakula arusha ni bei ghali na pia ni kidogo wakati mbeya unakula kushiba,
life style casual ya arusha watu wanavaa vizuri kuliko mbeya both wanapoor infrastructure barabara siyo nzuri mfano city planing road moshi...
MBINU MPYA ZA KUBORESHA MAISHA YA WAFUNGWA
UTANGULIZI Napenda kumshukuru Mungu kwa ajili ya uhai alionipa na kunijalia mawazo mazuri ya kuandika ili jamii yangu iweze kuimarika, napenda kutumia nafasi hii kuandika kwa ajili ya rafiki zangu, ndugu zangu na jamaa yangu walio nyuma ya nondo za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.