Inafika kipindi unajiuliza mbona idadi imekua kubwa sana ya malori wakati huu au kuna mali za inchi zinauzwa kisiri siri, naaznakuona kama kunaukweli na anachoongea Polepole kwasababu hii ni very abnormal mbona haikua hivi miaka ya nyuma
Idadi ya Malori njia ya Mandela road imekua kubwa sana kiasi ambacho yanasababisha foleni kubwa sana.
Hii ni kero kero kwa wakazi wa Kigamboni na Mbagala wanaotumia mandela road. Mbali na foleni haya malori yanahatarisha usalama wa watu kwani yanasababisha ajali, lakini kuzuia huduma za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.