Recent content by Wizara ya Ardhi

  1. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Ardhi waendelea kujengewa uwezo katika kutoa huduma za ardhi kidijiti (e-ardhi) kwa wananchi, mkoani Kagera

    Wataalamu wa Ardhi kutoka Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Kagera pamoja na Halmashauri zake, wanaendelea na mafunzo ya kujengewa uwezo wa mfumo wa E-Ardhi ili kuongeza ufanisi katika kazi. Mafunzo hayo yameanza rasmi Tarehe 14 Septemba, 2026 katika ukumbi wa ELCT uliopo Bukoba na...
  2. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa e-Ardhi: Mwananchi kusaini hati milki ya ardhi mkoa wowote alipo

    RUVUMA Wananchi nchini sasa wanaweza kupata na kukamilisha baadhi ya huduma za ardhi kwa urahisi zaidi kupitia mfumo wa kidijiti wa e-Ardhi, ikiwemo kusaini hati zao bila kulazimika kusafiri hadi mkoa ambako huduma ilianzishwa. Akizungumza wakati wa kutoa elimu kwa umma kuhusu matumizi ya...
  3. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania e- Ardhi kusaidia watendaji sekta ya ardhi Lindi kutoa huduma kwa haraka

    LINDI Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inaendela na mafunzo ya siku nane ya mfumo mpya wa kidijiti wa e-Ardhi mkoani Lindi huku mfumo huo ukielezwa kusaidia watendaji wa sekta ya ardhi katika mkoa huo kutoa huduma kwa haraka pamoja na kupunguza urasimu kwa wananchi. Akizungumza...
  4. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania MAPINDUZI YA KIDIJITI: Kilimanjaro Yawa Miongoni mwa Mikoa Inayotoa Huduma za Ardhi Kupitia e-Ardhi

    MOSHI, KILIMANJARO Mkoa wa Kilimanjaro umejiunga na mikoa mingine inayotoa huduma za ardhi kwa wananchi kwa njia ya kidijiti kupitia mfumo wa e-Ardhi ambao unarahisisha na kuharakisha huduma za sekta ya ardhi nchini. Akizungumza wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wataalamu wa sekta hiyo...
  5. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania e-Ardhi: Serikali yaongeza ufanisi katika huduma za ardhi, Ruvuma

    Ruvuma Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuchukua hatua za kisera na kiteknolojia kuboresha huduma za ardhi nchini, ambapo matumizi ya Mfumo wa e-Ardhi yameelezwa kuwa ni hatua muhimu katika kuongeza ufanisi, uwazi na usalama wa taarifa za ardhi...
  6. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa ardhi waendelea kunolewa katika matumizi ya mfumo wa e-ARDHI.

    Wataalamu wa Ardhi Mkoani Singida wameendelea kunolewa katika matumizi ya mfumo wa e-Ardhi, hatua inayolenga kuwawezesha kutoa huduma bora na za kidijitali kwa wananchi. Matumizi ya mfumo huo yanatarajiwa kurahisisha upatikanaji huduma za ardhi, kupunguza usumbufu kwa wananchi na kuongeza...
  7. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania FAHAMU MFUMO WA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA LA WILAYA

    https://m.youtube.com/watch?v=8Mw7LJ6EwEc&t=1764s[/URL]
  8. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania e-Ardhi kurahisisha huduma za Ardhi Njombe

    NJOMBE Mfumo wa kidijiti wa e-Ardhi unatarajiwa kuwa suluhisho la changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi katika upatikanaji huduma za ardhi, ikiwemo foleni, gharama na usumbufu wa kufuata huduma hizo katika ofisi za ardhi. Hayo yameelezwa na wataalamu wa ardhi mkoani Njombe waliopewa...
  9. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Huduma za ardhi Kigoma kunufaika na teknolojia ya mfumo wa e-Ardhi

    HUDUMA ZA ARDHI KIGOMA KUNUFAIKA NA TEKNOLOJIA YA MFUMO WA e-ARDHI KIGOMA Hatua ya Serikali ya kuendelea kuboresha utoaji huduma za ardhi kwa njia za kidijitali imezidi kuimarika baada ya mfumo wa e-Ardhi kutua mkoani Kigoma, hatua inayolenga kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo. Wataalamu...
  10. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Haki za mlalamikiwa katika baraza la ardhi na nyumba la wilaya

    https://youtu.be/8SBsWi-SQHE?si=UWsuLLh2v3L1dOzq
  11. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania DC Tarime akumbusha katazo la kuendeleza maeneo yanayoguswa na mradi wa ujenzi wa bwawa la TSF – North Mara

    Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Mhe. Meja Edward Gowele, amewakumbusha wananchi wa Kijiji cha Nyangoto, Kata za Mangoto na Nyangoto, kuzingatia katazo la Serikali la kutofanya maendeleo mapya katika maeneo yanayoguswa na Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la TSF wa Mgodi wa Dhahabu wa North Mara unaomilikiwa na...
  12. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa umma kuhusu kisiwa cha Lupita

  13. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Serikali yafanua gharama za upimaji wa ardhi

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Kaspar Mmuya amesema gharama za kupanga na kupima kiwanja kimoja katika maeneo yaliyoendelezwa zimepunguzwa hadi Shilingi 130,000, hatua inayolenga kupunguza mzigo wa gharama kwa wananchi. Mhe. Mmuya amesema hayo leo Agosti 31, 2026...
  14. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania DC Tarime atoa katazo wananchi kuendeleza maeneo yanayoguswa na mradi ujenzi Bwawa la TSF- North Mara

    DC TARIME ATOA KATAZO WANANCHI KUENDELEZA MAENEO YANAYOGUSWA NA MRADI UJENZI BWAWA LA TSF- NORTH MARA TARIME, Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Mhe. Meja Edward Gowele, amewataka wananchi wa Kijiji cha Nyangoto, Kata za Mangoto na Nyangoto, kusitisha mara moja uendelezaji maeneo yanayoguswa na Mradi...
  15. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania DC Gowele ataka uangalifu zoezi la fidia TSF-North Mara

    DC GOWELE ATAKA UANGALIFU ZOEZI LA FIDIA TSF-NORTH MARA TARIME Mkuu wa Wilaya ya Tarima mkoani Mara Mhe. Meja. Edward Gowele, amewaagiza viongozi wanaosimamia zoezi la uthamini wa fidia eneo la mradi wa ujenzi wa Bwawa la TSF-North Mara kuwa makini dhidi ya wananchi wanaojiingiza katika maeneo...
Back
Top Bottom