Recent content by Wizara ya Ardhi

  1. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Mifumo ya Kidijiti ya Kijiografia kuimarisha usimamizi wa ardhi nchini

    MIFUMO YA KIDIJITI YA KIJIOGRAFIA KUIMARISHA USIMAMIZI WA ARDHI NCHINI Dodoma Tanzania inaendelea kufanya mageuzi makubwa katika sekta ya ardhi kwa kuimarisha mifumo ya kidijiti na matumizi ya teknolojia za kisasa za taarifa za kijiografia ili kuimarisha usimamizi wa Sekta ya Ardhi nchini...
  2. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Usikatae wito wa Baraza la Ardhi

    Kuitwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya si adhabu, bali ni fursa ya kusikilizwa na haki kutendeka
  3. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Sabasaba yaacha tabasamu kwa wananchi

    Mamia ya wananchi wamepokea hati zao za ardhi ndani ya muda mfupi kupitia huduma za Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba). Wananchi wapongeza huduma zilizotolewa, wakieleza kuridhishwa na weledi, ufanisi na ubora wa huduma...
  4. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Mmuya: Wananchi wanufaike na uwekezaji wa NHC kupitia nyumba za gharama nafuu

    MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika Mtaa wa Viwandani, Kata ya Railway...
  5. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Mmuya aagiza waliopunjwa fidia kulipwa stahiki zao

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara kuhakikisha wananchi wawili wa Kijiji cha Lilido, Kata ya Kitere, wanalipwa stahiki zao baada ya kubainika walipunjwa fidia kutokana na makosa ya kimahesabu yaliyofanywa wakati wa...
  6. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Mmuya aanza ziara ya kikazi mkoani Mtwara

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amewasili mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara na Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Kanali Donald Wilson Msengi. Mara baada ya kuwasili, Mhe. Mmuya amepokea taarifa...
  7. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa notisi zilizotolewa kwa vijiji vya Ololosokwan, Soitsambu, Enguserosambu, Arash na Losoito

    Wizara inapenda kutoa ufafanuzi kutokana na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu notisi zilizotolewa tarehe 4 Juni, 2026 na Ofisi ya Msajili wa Hati Mkoa wa Arusha kwa Vijiji vya Ololosokwan, Soitsambu, Enguserosambu, Arash na Losoito vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya...
  8. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Akwilapo: Wizara kuendelea kutoa hati za ardhi kupunguza migogoro Kwimba

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amesema Wizara yake itaendelea kuhakikisha wamiliki wa ardhi wanapatiwa hati miliki ili kutatua na kupunguza migogoro ya ardhi nchini. Dkt. Akwilapo amesema hayo Julai 6, 2026 wilayani Kwimba mkoani Mwanza wakati wa...
  9. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ardhi awaonya Viongozi wa vijiji kujihusisha na uuzaji wa ardhi kiholela

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Leonard Akwilapo amewatahadharisha viongozi wa vijiji nchini kuacha kujihusisha moja kwa moja na uuzaji wa ardhi bila kufuata taratibu za kisheria, akisema tabia hiyo imekuwa chanzo kikubwa cha migogoro ya ardhi katika maeneo mbalimbali...
  10. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya ardhi yatoa hati zaidi ya 470; waziri Dkt. Akwilapo, ahimiza ufanisi, haki na weledi katika utoaji wa huduma

    Zaidi ya wananchi 470 wamepatiwa Hatimiliki katika banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo, Julai 5, 2026...
  11. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Mmuya awataka watumishi wa ardhi kufanya kazi kwa kujitoa na kuharakisha miamala ya wananchi

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amewataka watumishi wa sekta ya ardhi nchini kufanya kazi kwa kujitoa na weledi ili kutoa huduma bora na za haraka kwa wananchi. Mheshimiwa Mmuya ametoa wito huo leo, Juni 18, 2026, alipotembelea banda la Wizara ya Ardhi...
  12. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Serikali yawahimiza Wanawake kumiliki Ardhi

    Serikali imewahimiza wanawake kujitokeza kumiliki ardhi na kutumia fursa zilizowekwa kwa kupitia Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka 1995, Toleo la Mwaka 2023 ili kuendelea kunufaika na fursa zinazopatikana kupitia sekta ya Ardhi nchini. Sera hiyo ambayo ilizinduliwa mwezi Machi 17, 2025 na Dkt...
  13. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yaalika wananchi kufika wiki ya utumishi kupata huduma za ardhi

    Watumishi wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wanaendelea kutoa huduma za sekta ya Ardhi katika banda la wizara hiyo katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma. Katika kufikisha ujumbe kwa jamii, wasanii kutoka...
  14. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi yatwaa Makombe CRDB Bank Grand Bonanza 2026

    Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Ardhi Sports Club, leo Juni 20, 2026, imeendelea kung'ara katika CRDB Bank Bunge Grand Bonanza 2026 kwa kutwaa makombe mawili katika michezo ya kuvuta kamba na karata, ikionesha umahiri, mshikamano na ushindani wa hali ya juu. Bonanza hilo...
  15. Wizara ya Ardhi

    JamiiForums Tanzania Mmuya ataka wamiliki wa ardhi kulipa kodi ya pango la ardhi kwa wakati kuepuka riba ya asilimia 1

    Arusha Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, ametoa wito kwa wamiliki wote wa ardhi nchini kuhakikisha wanalipa Kodi ya Pango la Ardhi kwa wakati ili kuepukana na faini na adhabu zisizo za lazima. Akizungumza leo, tarehe 20 Juni 2026, katika kikao kazi...
Back
Top Bottom