Recent content by Wizara ya Ardhi

  1. Wizara ya Ardhi

    Taarifa ya uchunguzi migogoro ya ardhi Pwani yawasilishwa kwa Ndejembi

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya kikao kazi cha pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakary Kunenge chenye lengo la kupokea Taarifa ya Timu ya Wataalam iliyoundwa na Wizara kwa ajili ya kuchunguza migogoro mbalimbali ya ardhi Mkoani humo...
  2. Wizara ya Ardhi

    Kivule waipa serikali kongole utoaji wa hati papo kwa papo

    Dar es salaam Wakazi wa Kivule jijini Dar es salaam wameipa kongole Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuwasogezea huduma karibu katika eneo hilo kwa kuendesha Kliniki ya Ardhi na kutoa Hatimiliki za Ardhi papo kwa papo. Akizungumza na mwandishi wetu Agosti 14, 2025 jijini Dar...
  3. Wizara ya Ardhi

    Wananachi wamiminika kivule kupokea hatimilki za maeneo yao

    Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inaendesha zoezi la Kliniki ya Ardhi Mkoa wa Dar es salaam Manispaa ya Ilala Kata ya Kivule na kutoa Hatimiliki kwa wananchi ambao wamekamilisha nyaraka za umiliki baada ukwamuaji wa urasimishaji wa maeneo yao mitaa ya Kivule, Magole A, Kerezange na...
  4. Wizara ya Ardhi

    Waziri wa Ardhi, Mtandao Dodoma ni tatizo kweli au urasimu?

    Habari Ndugu Kitchener?asante kwa kutufikia na kutuandikia Pole sana kwa changamoto uliyokuwa nayo ,Naomba utuandikie Mawasiliano yako Inbox Tafadhali.Asante
  5. Wizara ya Ardhi

    Tanzania ina uhitaji wa zaidi ya nyumba milioni 26 ifikapo 2050

    Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania inauhitaji mkubwa wa nyumba kutokana na kasi ya ukuaji wa miji nchini ambapo inakadiriwa kuwa na mahitaji ya nyumba 26,840,909 ifikapo 2050 ili kukidhi mahitaji wa watu milioni 118.1. Akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua semina...
  6. Wizara ya Ardhi

    Hakikisheni madalali wanazingatia kanuni kutekeleza amri za mabaraza ya ardhi

    Serikali imeitaka Kamati ya Kusimamia Uteuzi na Nidhamu ya Madalali wa Mabaraza kuhakikisha madalali wanazingatia kanuni katika kufanya utekelezaji amri zinazotolewa na Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam tarehe 24 Julai 2025 na Naibu Katibu Mkuu wa...
  7. Wizara ya Ardhi

    Mafunzo ya uimarishaji mpaka wa kimataifa kuwajengea uelewa wataalamu wa Tanzania na Burundi

    Serikali imesema kuwa, mafunzo ya uimarishaji mpaka wa kimataifa kati ya Tanzania na Burundi yanalenga kujenga uelewa wa pamoja kati ya wataalamu wa nchi hizo mbili. Hayo yamebainishwa leo tarehe 22 Julai 2025 jijini Dodoma na Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi...
  8. Wizara ya Ardhi

    Wasajili wa hati nchini wajipanga kwa matumizi ya TEHAMA

    Pole sana kwa changamoto hiyo, Kupitia mifumo ya TEHAMA hakuna mianya ya Rushwa wala uonevu ,vitu vingi vinafanya Online. Ukiwa na changamoto yoyote usisite kuwasiliana Nasi DM.Asante.
  9. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi aagiza mjane kukabidhiwa nyumba yake ndani ya siku 14

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi amemuelekeza Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar es Salaam kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha ndani ya siku 14 Mjane wa Marehemu Fadhil Hussein Omari anakabidhiwa Nyumba yake iliyokua imepangishwa kwa Kwa...
  10. Wizara ya Ardhi

    Wasajili wa hati nchini wajipanga kwa matumizi ya TEHAMA

    Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Kitengo cha Hati, imeendesha kikao kazi cha siku mbili kilichowakutanisha Wasajili wa Hati Wasaidizi kutoka mikoa mbalimbali nchini, kwa lengo la kujadili na kujipanga kwa matumizi ya TEHAMA katika shughuli za usajili. Aidha, kikao hicho...
  11. Wizara ya Ardhi

    Hati milki za ardhi 1,176 zatolewa maonesho ya sabasaba

    Hbari Chiembe ?asante kwa kutuandikia katika ukurasa wetu,tumepokea na tutalifatilia kwa karibu. asante sana.
  12. Wizara ya Ardhi

    Waziri Ndejembi atoa siku tatu uhakiki wa mpaka eneo lenye mgogoro Kimbiji

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi ameielekeza Ofisi ya Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar es Salaam mpaka kufikia Jumatatu ya Julai 21, 2025 iwe imewasilisha taarifa ya uhakiki wa mipaka ya kiasili ya eneo linalolalamikiwa lililopo Kimbiji katika Halmashauri ya...
  13. Wizara ya Ardhi

    Pinda aiwakilisha Tanzania mkutano wa 44 shelter Afrique Algeria

    Algiers, Algeria – Julai 17, 2025 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Geophrey Mizengo Pinda (Mb), ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano Mkuu wa 44 wa mwaka wa Taasisi ya Shelter Afrique, uliofanyika jijini Algiers, Algeria kuanzia Julai 15 hadi 17, 2025. Mkutano huo wa...
  14. Wizara ya Ardhi

    Hati milki za ardhi 1,176 zatolewa maonesho ya sabasaba

    Shukrani Mkuu,tuko Pamoja. Asante sana.
  15. Wizara ya Ardhi

    Hati milki za ardhi 1,176 zatolewa maonesho ya sabasaba

    Pole Kwa changamoto, Naomba Tuwasilishie taarifa zako inbox kwa msaada wa Haraka. Asante na tumepokea ushauri.
Back
Top Bottom