Recent content by Wiston Mogha

  1. Wiston Mogha

    Lissu, anzisha chama chako achana na Mbowe

    Kuanzisha chama muda huu na kwa wakati huu ni kuendeleza utitiri wa vyama vingi visivyo na tija. TAL anapaswa kushinda na aunganishe nguvu na vyama makini kuiondoa CCM madarakani.. Ikishindikana basi anapaswa kuondoka na kujiunga na chama makini ACT Wazalendo ili kuikabili CCM na washirika wake...
  2. Wiston Mogha

    Ziara ya Ujenzi wa Chama cha ACT Wazalendo

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, @DorothySemu akizungumza wakati wa kikao cha mashauriano kuhusu ziara ya ujenzi wa chama inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Juma Duni Haji makao makuu ya chama Magomeni jijini Dar es Salaam, Julai 10, 2024.
  3. Wiston Mogha

    RAIS AJAE

    Ukimuamini wewe inatosha.
  4. Wiston Mogha

    RAIS AJAE

    Kavu ama mbichi?
  5. Wiston Mogha

    RAIS AJAE

    Swali jepesi sana mkuu 😂
  6. Wiston Mogha

    RAIS AJAE

    Picha ulioletewa ina watu watatu tu. Mbona unafeli mtihani kizembe mkuu wangu
  7. Wiston Mogha

    RAIS AJAE

    Naomba mtaje jina aliepo kati hapo?
  8. Wiston Mogha

    RAIS AJAE

    Hivi Rais anakaa katikati au pembeni? Naomba Wajuvi mnijibu…….
  9. Wiston Mogha

    Barua ya Dotto Rangimoto kwa Rais Samia kuhusu tukio la kutekwa wa Sativa

    Salaam Mama Rais Samia. Wakati yalipoanza matukio ya utekaji kipindi cha Serikali ya awamu ya 5; yalikuwa ni matukio mageni. Walakini kama vile hayataki yakawa mazoea kabla ya kuota mizizi. Pengine isingekuwa hofu sana kama ungekuwa ni utekaji tu, ila watekaji wenyewe kuwa WATU WASIOJULIKANA...
  10. Wiston Mogha

    Zitto Kabwe: IGP unawezaje kukubali kituo cha polisi kutumika na genge la watekaji?

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania @tanpol unawezaje kukubali Kituo cha Polisi kutumika na genge la watekaji? Unajisikiaje raia ambaye anapaswa kujiona salama kituoni akiteswa kutoka kituoni? Unawezaje kukubali Jeshi hili? Kamanda Wambura nakuomba 1) Ufanyike uchunguzi HURU wa kina 2) wajibisha...
  11. Wiston Mogha

    ACT Wazalendo: Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela

    Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni (X) anajulikana Sativa. Mwakabela amepatikana leo tarehe 27 Juni, 2024 huko Mkoani Katavi akiwa...
  12. Wiston Mogha

    ACT Wazalendo tunataka CAG afanye Ukaguzi maalum wa Fedha za Muungano

    Fedha za Muungano zinaendelea kutumika bila kujali haki na usawa wa pande zote mbili. @ACTwazalendo tunataka Serikali ifuate Katiba kwa kuanzisha Akaunti ya Pamoja ya Fedha kwa mujibu wa sheria na mapato ya Muungano yawekwe humo. N/Waziri Kivuli wa Fedha Shangwe Ayo
Back
Top Bottom