Recent content by winner2024

  1. W

    SoC04 Tanzania tuitakayo. "Kiswahili kipewe kipaumbele katika elimu"

    Nataka na Hiki Kiswahili kipande na kisidropike...
  2. W

    SoC04 Tanzania tuitakayo. "Kiswahili kipewe kipaumbele katika elimu"

    Asante.. MAARIFA HAYAKUZALIWA KATIKA KIINGEREZA... hata sisi twaweza kujijengea MAARiFA kwa Kiswahili na mwisho na wengineo pia wakayapata MAARIFA kwa Kiswahili.. Nikisema kiswahili kiinuliwe namaanisha kianzie kwetu na kifike kimataifa.. mpaka huko mtandaoni
  3. W

    SoC04 Tanzania tuitakayo. "Kiswahili kipewe kipaumbele katika elimu"

    UTANGULIZI. Kiswahili kimekuwa kikitumika sambamba na lugha ya kiingereza katika elimu itolewayo Tanzania.Utumizi huo umepangwa katika mfumo ambapo kiswahili hutumika kama lugha ya kufundishia katika shule ya msingi , na kiingereza kikitumika Kama SoMo mojawapo. Katika ngazi ya sekondari...
Back
Top Bottom