Asante.. MAARIFA HAYAKUZALIWA KATIKA KIINGEREZA... hata sisi twaweza kujijengea MAARiFA kwa Kiswahili na mwisho na wengineo pia wakayapata MAARIFA kwa Kiswahili.. Nikisema kiswahili kiinuliwe namaanisha kianzie kwetu na kifike kimataifa.. mpaka huko mtandaoni
UTANGULIZI.
Kiswahili kimekuwa kikitumika sambamba na lugha ya kiingereza katika elimu itolewayo Tanzania.Utumizi huo umepangwa katika mfumo ambapo kiswahili hutumika kama lugha ya kufundishia katika shule ya msingi , na kiingereza kikitumika Kama SoMo mojawapo.
Katika ngazi ya sekondari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.