daaah inaumiza saana, nimesomeshwa na gvt tangu o.level hadi A.level, coz wazazi wangu walifariki nikiwa std 6, niliscore vzr sana div one olever na div one 6, nituma maombi bodi na tcu education, but mkopo nil, nikakorespond mwaka, kutokana na stress kubwa niliyoipata nilisumbuliwa na ugonjwa...
Mimi sisemi mkuu, hii ni zaidi ya ugaidi, ujangili na unyang'anyi, tumebaki kama samaki machozi yake hayaonekani yote yanaenda na maji, hata alie kutwa nzima! duuuuh! tanzania kiboko!
sasa kama hiyo serikali ilikuwa haina pesa kwann waliongeza muda wa wanafunzi kuomba mkopo, bora wangetupa cc tuliowahi kutuma maombi, ni sheeeeedah....!
hiv sasa ni kipaumbele gani wanachopewa fulcuty ya edctn, hata 50%jamani, mbaya zaidi gud perfomance, female in gender, orphanage, gvt schools, je nifanyeje, just ushauri mkuu it's twice now, daah tanzania ni kiboko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.