SEKA J AWANDO, Ni Mkuu wa shule mkongwe, wilayani Misungwi, anayeongoza kwa mkono wa chuma. Mwezi huu akiwa na akili timamu aliamua kubomoa milango na madirisha ya nyumba ya walimu ikiwa ni njia ya kuwaondoa baadhi ya walimu.
Alibomoa sehemu ya nyumba wanayoishi walimu, akiwalenga baadhi licha...
Mkuu wa shule ya Sumbugu iliyopo Wilani Misungwi ni muumini wa ukatili wa kingono kwa wanafunzi, katika mazingira yasiyokuwa ya ubinadamu, aliamua kubomoa mirango yote na madirisha katika nyumba wanayoishi walimu ambao wamehamia kituoni hapo miaka saba iliyopita bila kulipwa na mwajiri wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.