brother nimejaribu kusoma kama mara 4, i miss a point here..... sijaelewa mantiki yako nini hasa, sijaelewa why niandike jambk hili halafu isiwe na uhalisia, ili nipate nini hasa. Wanawake as you said? Kuwa serious bro wanawake mbona wengi tu mtaani kuna haja gani ya kuhangaika na wanawake hata...
Nisiposema chochote nitaitesa nafsi yangu.... sikutegemea mkewe wangu angekuja nijibu chochote humu sbb najua hua hatumii jf na sikutegemea things could get this worse and nasty. Kwa yote aliyoyasema sihitaji kujibu chochote either kukuanusha wala kukibali. siko tayari kwa malumbano yoyote na...
shukrani Demi. Kwa sasa suluhu iko mikononi mwa wife. Keshokutwa nitakuwa naye dom, hivyo nitafanya mazungumzo naye kirefu physically tuone hatma ikoje. Nitawajuza.
Hello guys!
Niwashukuru sana kwa yote mliyonishauri, nashukuru yamenijenga na kunipa mwanga sana. Ushauri wenu kwa ujumla umeniongoza na nimeanza kuufanyia kazi kwa tahadhari kubwa. Niliomba ushauri nikideclare kuwa nia yangu hasa ni kuona vipi naweza tenganisha wife with the guy. sbb kuvunja...
I dont think kama elimination ni jambo sahihi, i will be the first suspect, sintokua nimefanya tiba yoyote sababu uzi huu uko hewani,investigation itaanzia hapa.
Asante kwa advice yako....lakini kwa vigezo vyote sikuanzisha mahusiano naye katika njia uliyoisema. Il nashukuru dada, nilimfuatilia lengo nijue whats behind my back
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.