Recent content by Willeboy

  1. W

    Walimu wangu wananishauri nikasome BSc with Wducation UDSM. Nifanye nini?

    Kwahiyo mkuu ni ngumu sana kuwa lecture chuoni
  2. W

    Walimu wangu wananishauri nikasome BSc with Wducation UDSM. Nifanye nini?

    Sawa ndo namlizia hiyo diploma mwezi wa tano, vp kuwa lecture ni ngumu?
  3. W

    Walimu wangu wananishauri nikasome BSc with Wducation UDSM. Nifanye nini?

    Mimi ni mwanafunzi nimemaliza form four mwaka 2021. Na nikapangiwa stashahada ya ualimu katika masomo ya physics and chemistry. Katika kozi hii tunasoma miaka mitatu, miaka miwili advance na mwaka mmoja ndo tunasomea ualimu. Sasa nimemaliza advance mwaka huu 2024 na nimepata division one ya...
Back
Top Bottom