Tunauza majogoo ya kuku aina ya chotara. Majogoo wana umri wa miezi sita na wastani wa kilo 2 hadi 3.5. Yanafaa kwa kitoweo au kwa mbegu (kupandishia majike) kutokana na mahitaji ya mnunuzi. Bei ni Tshs 20,000/= kwa jogoo mmoja.
Zipo aina mbili :
1. Rhode Island Red
2. Kuchi
Tunapatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.