Habari wapendwa
Naomba kuuliza hivi bacteria h.pylori ni ngumu sana kuonekana kweny vipimo maan nilipima kama mara mbili hosp kunwa za private ikaonekana neg nimepima mpaka endoscopy kuangalia tumbo limekaaje ila walikuta michubuko tu
Nimeteseka sana nikarudi tena kwa Dr aliyenifanyia...
Kuna uhusiano gani kati ya fungusi mdomoni na koo na asidi reflux, maana baadhi ya watu wenye tatizo la asidi pia ukutwa na fangasi hata mimi nina tatizo hilo nina fungus wasioisha mdomoni maana nilipimwa endoscopy dr aliniambiwa wapo pia kwenye koo
NB: nimeanza kupata hili tatizo baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.