Recent content by wemambayasana

  1. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Tayar kashaijua rangi yangu lkn bado hiyo haitoshi.
  2. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Ukisoma stori yangu vzr, nilkutwa nimekaa kwangu nyumba z kupanga. Akasema anajenga nyumba mjini lkn sisi tutakua tunakaa huku tukijipanga maana yeye yuko kijijini hawezi kukaa mjini. Na hapo ni baada ya kuona tunamlelea wajukuu zake vzr na kuwasomesha. Baada ya kuijenga hiyo nyumba nilitaka hao...
  3. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Pole sana mkuu. Kuwakomesha ungeenda ukaleta greda au mafundi wakabomoa ukapata tofali za kuanzia kwingineko ili familia mpya wapate pa kukaa. Dunia hii jasho kamwe usiruhusu likapotea bure. Hakun mtu atakushukuru isipokua wazazi wako wa DAMU tu.
  4. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Ahsante kwa story yako. Yako ni tofauti kidogo na yangu. But ulicheza kama Messi.
  5. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Ahsante. Ni somo zuri. Ningekua yeye ningeleta mafundi wakabomoa vzuri ili tofali, mbao, nondo, vifusi n. K zipatikane zikaanze ujenzi kwingineko.
  6. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Sijahamasisha kutenda uovu bli nimesema ujipende ww kama ww. Pesa ikipita mbele yako jilipe jasho lako maana ipo siku utalijutia wakati wanakusulubu.
  7. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Ewaaa. Ndo inavyotakiwa. Weka panga naweka shoka.
  8. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Ahsante. Akili zilkua zimelala nkajua wema utaniletea heshima but sikutafuta kitonga.
  9. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Nashukuru ila huyu nataka mpaka sky iwe the limit.
  10. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Ahsante. Hawa watu wa mikoa hii esp wala wali na samaki sio watu kabisa. Mama mbinafsi sana huyu.
  11. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Nashukuru ila Huyu sitafuti tena heshima kwake. Heshima sitoitafuta kwa binadamu.
  12. wemambayasana

    JamiiForums Tanzania Wema wangu ulivyoniletea kejeli na fedheha kutoka kwa mama mkwe uchwara

    Ndugu wana JF wasalaaam, Napenda ku-share nanyi hii stori ili iwe fundisho kwa wengine wasije wakafanya makosa kama nilivyofanya mimi. Katika mizunguko na harakati za maisha nikakutana na mwanamke tukaanzisha mahusiano na hatimae tukaanza kuishi pamoja kama mke na mume. Hapa hakuna ile ndoa...
Back
Top Bottom