Sisi sio kwamba hatuwezi..tunaweza vizuri sana mifumo iwape vijana wenye vigezo vya hizo teuzi kipaumbele..pia busara na hekima vinachangia sana ukizingatia sisi vijana baadhi yetu wengi vigezo vipo lakini mambo ya busara na hekima hatuna ukilinganisha na wazee wetu wanalamba teuzi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.