Recent content by Watoto wa Bimdash

  1. W

    Episode 4: Balozi wa amani kitaa kwa kitaa na wakazi wa mtaa wa Kombo kuhusu umuhimu wa amani

    Kitaa kwa kitaa tukizungumza na wakazi wa mtaa wa Kombo kuhusu umuhimu wa amani ya Taifa letu. https://youtu.be/iczf_ktTHX8 Amani ya Tanzania inaanza na sisi , Kuilinda Amani ya nchi yetu ni jukumu letu sote. #Vijana_waleo_Wazalendo_wakweli #amani #tanzania #kenya#daresalam#TANZANIA #AMANI
  2. W

    Amani, upendo, uzalendo na kujitambua : Elimu kwa vijana na watoto wa mtaani ili kujitambua juu ya umuhimu wa kuilinda na kuitunza amani ya nchi yetu

    Mtaa kwa mtaa tukizungumza na vijana kuhusu umuhimu wa amani ya nchi yetu ya Tanzania, tukizunguka kwenye vijiwe mbalimbali ndani ya jiji la Dar es Salaam na kufanya interview na vijana kubaini uelewa wao kuhusu dhana nzima ya amani na nini madhara yake endapo itatoweka. Tukiwa na kauli mbiu...
Back
Top Bottom