Recent content by waseko

  1. W

    JamiiForums Tanzania St.joseph wahindi wapigana wao kwa wao

    Ugomvi mkubwa watokea chuo cha st.joseph songea mhindi mmoja amepata kipondo kutoka kwa wahindi wenzake baada ya kukataa shinikizo la kusaini barua ya kufukuza wanafunzi 25 chuoni akimbilia kwa raia wema na kuokolewa afunguka kuhusu uozo uliopo chuoni hapo asema wanafunzi wamegoma kwa haki asema...
  2. W

    JamiiForums Tanzania St.joseph songea kunatisha

    Wanafunzi wa chuo cha st.joseph tawi la songea wamefanyiwa uzalilishaji na jeshi la polisi wavunjiwa milango na kutolewa nje wakiwa uchi wapigwa na kujeruhiwa vibaya majanga haya yamewakuta wanafunzi hao wakiwa wamekaa chini ya mti wakijadiliana ni namna gani serikali inawasaidia kutatua mgogoro...
  3. W

    JamiiForums Tanzania st.joseph songea mgomo waendelea siku ya tatu leo

    leo siku ya tatu toka wanafunzi wa chuo cha mtakatifu joseph kilichoko mkoani ruvuma mkuu wa wilaya ajikanyaga kutoa tamko la serikar asema kwa kuwa wamefunga chuo na sisi tunakubali ashindwa kuonyesha msimamo wa serikar kuhusu mgomo huo wanafunzi wadai chuo kifutwe wahamishiwe vyuo vikuu na...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Mgomo mkubwa leo st.joseph college songea

    safi sana hao wahindi nasikia wanawafinya si muwapige na misharubu yao kwao maskn sana hafu na nyie arusha mnang'aa macho watawachapen fimbo hata hela hamjapewa nyie ni siro kabisa
Back
Top Bottom