Revenge ya bomba la mafuta kuelekea Tanzania inaeza ikawa ni sababu ya kuandamana kwao nyuma ya mgongo wa Bob wine.
"There's always another side to a reason behind"
Hahahaha mdau umembana sana ila nimeipenda hii kwa kuwa tunasahau sana kuweka uwiano ulio sawa kwenye mizani ya kukosoa malalamiko.
"There should be a balance specifically complain balance bacause there is always another side to an argument"
Trump
Mw
Trump mwenyewe alishiriiki kwenye compromisation ya uchaguzi uliopelekea yeye meenyewe kuingia white house......
"Democracy will never be stable.....democracy will always fluctuate as inflation rate or as currency exchange rate"
Senetor apambane na kumshauri trump kwenye vita ya...
Even though amechanganya mambo ila mantiki ipo ......lenye kujenga ndio la maana zaidi kuliko kuchanganya historia .Ila salute kwako kwa kuweka sawa historia.
"You can't depend on your eyes when your imagination is out of focus"
"There's always another side to a story"
sio kila investigation itaenda smoothly....!
Kwenye karatasi ni rahisi kutenganisha kati ya law enforcement & investigation ila kwenye eneo la tukio kuna wakati huwa vinatumika pamoja na chombo kimoja.
15._(1)The service shall,subject to this Act,have power to investigate any person or body of body of persons whom or which it has reasonable cause to consider a risk or source of risk of a threat to the state security.
This is a clear sign that something negative is happening in our shipping industry ...
Wepesi na ufanisi unahitajika kwenye kutatua hili la meli zilizokamatwa zenye mizigo hatarishi alafu our national flag ikiwa inapeperushwa na hizo meli nchi za wengine
ILA kwenye karamu ulishiriki tena ulikuwa kwenye kamati iliyo kuu.
UMESAHAU KITU KIMOJA MZEE KUKU MLIMMALIZA KABISA HATA HUO UTUMBO NA MIGUU HAVIKUPATIKANA...
Hahahahaha hakika uliyoyanena yametukumbusha ushiriki wako.
Raisi ni mkuu wa nchi, na nchi ina mihimili mitatu kwa hiyo Raisi ni mkuu wa mihimili hiyo mitatu....
Raisi ni mkuu wa serikali......Raisi ni sehemu ya Bunge......Raisi ni sehemu ya mahakama (anamteua jaji mkuu na kusaini hukumu ya kifo).....
Ukikataa au kukubali Mamlaka ya Raisi kwa katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.