Recent content by Wantuwawenga

  1. W

    KERO UDOM na deni kwa wanafunzi wenye malipo yaliyozidi (overpayment)

    UDOM wameingia mwaka mwingine wa masomo mwezi wa tatu sasa huu unaingia lakini overpayment zetu bado hawajatupa. Na Mahafali tulishafanya tangu tarehe 6 na 7 mwezi wa 12 sasa lakini kimya hamna mpango wowote wakutupa hizo fedha. UDOM msichojua ni kuwa baadhi yetu tunategemea hizo fedha
Back
Top Bottom